CHANGAMOTO

No Thumbnail Available
Date
2010
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
TUKI
Abstract
Tamthiliya hii ya CHANGAMOTO inagusia changamoto wanazokumbana nazo watu wenye mahitaji maalumu katika muktadha wa Bara la Afrika hususani Tanzania. Tamthiliya inasawiri changamoto wanazokumbana nazo watu wenye ulemavu wa viungo, viziwi, wenye ualbino, na bubu.
Description
Tamthiliya hii inaweza kutumika kama "darasa" kuhusiana na mambo ya ulemavu. Tamthiliya hii inajaribu kujenga fikra za ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika mazingira ambamo wametengwa ama na wanajamii wenzao wasio na ulemavu kutokana na "mitazamo hasi" waliyonayo; au wanatengwa kutokana na miundo mbinu isiyo Rafiki katika mazingira au maofisi hasahasa katika mfumo wa elimu, afya, ajira kwa kutaja kwa uchache.
Keywords
CHANGAMOTO ZA ULEMAVU, HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU, UNYANYAPAA, UBAGUZI
Citation